Pages

Saturday, April 12, 2014

MATOKEO: BAADA YA MIAKA TISA HATIMAYE ARSENAL YATINGA FAINALI

Klabu ya Arsenal imefanikiwa kutinga fainali ya kombe la FA baada yakuwabwaga Wigan kwa penati 4-2. Hadi dakika 90 timu hizo zilikuwa sawa kwa matokeo ya 1-1, Fabianski aliibuka shujaa wa mchezo baada yakupangua penati mbili za wapinzani.




No comments:

Post a Comment