Pages

Friday, April 11, 2014

MATOKEO: EUROPA VALENCIA, SEVILLA ZAANGUSHA DOZI NZITO WAUNGANA NA JUVENTUS NA BENFICA NUSU FAINALI

Valencia
 Valencia wakiwa katika furaha ya ushindi baada yakushinda magoli 5-0 dhidi ya FC Basel ambao wiki iliyopita waliibuka na ushindi wa mabao 3-0 kwa maana hiyo Basel kaaga mashindano rasmi. 5-3


 Fußball Europa League Viertelfinale Juventus Turin Olympique Lyon

 Andrea Pirlo
 Matokeo yalikuwa 2-1 ukijumlisha na goli moja Juve walililopata wiki iliyopita jumla 3-1

 Rodrigo - Benfica - 04102014
 AZ Alkmar kaaga baada yakufungwa goli 2-0 na matokeo ya awali jumla 3-0

 Sevilla Porto Europa League 04102014
Porto kafungwa 4-1 na kuaga rasmi mashindano baada goli lake moja la awali kutomsaidia 4-2



















No comments:

Post a Comment