Mdau
wa Mchezo wa ngumi nchini Jay Msangi (kushoto) akiwa na
bondia Sajjad Mehrabi wa Iran, baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege
wa kimataifa jana kwa ajili ya pambano lake na Francis Cheka,
litakalofanyika Jumamosi kwenye ukumbi wa PTA. Kulia ni Rais wa PST
Emanuel Mlundwa na promota wa pambano hilo, Mussa Kova.
 |
No comments:
Post a Comment