Pages
(Move to ...)
▼
Thursday, April 17, 2014
ZOEZI LA SAFISHA JIJI LA MBEYA LASHIKA KASI
Askari wa Jiji wakiwa wanatoa Mawe yote yaliyopo pembezoni mwa barabara eneo la Soweto Jijini Mbeya
Kazi ikiendelea
Mmoja wa Askari wa Jiji Mwanamke akiwa amebeba jiwe kubwa kwenda kuweka katika gari
Gari la Jiji likiwa limepaki kwa ajili ya kukusanya mawe hayo
Mmoja wa Askari wa jiji akibonda jiwe kulipunguza ili waweze kubeba na kupakia katika gari.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment