Pages

Thursday, March 20, 2014

RATIBA: EUROPA LEAGUE KUENDELEA LEO


Michuano ya Europa inaendelea tena kwa siku ya leo.
Valencia, Lyon, Benfica na Real Betis ni kama wamejihakikishia kuingia robo fainali kutoka na ushindi wa awali. Matokeo ya awali kwa wote AZ Alkmaar walifungwa 1-0 na Anzhi, Valencia iliibuka na ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Ludogorets, Lyon wakiwa nyumbani walishinda 4-1 dhidi ya Plazen, Tottenham waliruhusu 3-1 dhidi ya Benfica, mechi dhidi ya Fiorentina na Juventus matokeo ni 1-1, Napoli ilifungwa 1-0 na Porto, Real Betis ilishinda 2-0 nyumbani kwa Sevilla na FC Basel SV Salzburg hakukuwa na mbabe 0-0



AnjiAnzhi  vs      AZAZ Alkmaar 

ValenciaValencia  vs  LudogoretsLudogorets


PlzeňPlazen  vs  LyonLyon


BenficaBenfica  vs  TottenhamTottenham


FiorentinaFiorentina  vs  JuventusJuventus


NapoliNapoli  vs  PortoFC Porto

BetisReal Betis  vs  SevillaSevilla

SalzburgSV Salzburg  vs  BaselFC Basel
































No comments:

Post a Comment