Pages

Saturday, April 19, 2014

AZAM WAKABIDHIWA MWALI WAO HUKO CHAMAZI, SIMBA NA YANGA WAMALIZA KWA SARE


Wachezaji wa Azam Fc, ambao ni Mabingwa wapya wa Ligi ya Tanzania Bara wakishangilia baada ya kukabidhiwa Kombe lao la ubingwa na kuweka historia ya kutwaa Ubingwa wa Soka kwa mara ya kwanza tangu walipopanda daraja na kuanza kucheza ligi kuu.
hafla hiyo ya kukabidhiwa kombe ilifanyika kwenye uwanja wa Azam complex Chamazi baada ya mchezo wao na JKT Ruvu ambapo waliibuka na ushindi wa bao 1-0


Wachezaji wa Timu ya Azam Fc Wakisherekea Kombe lao la Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Baada ya Kukabidhiwa Leo katika Uwanja wa Azam Compex Leo wakiwa na Mwenyekiti wao


No comments:

Post a Comment