Pages

Wednesday, March 19, 2014

RATIBA: TAIFA HAPATATOSHA, MAN U KUTUPA KARATA YAO MBELE YA WAGIRIKI, BORUSSIA KAMA INAMSUKUMA MLEVI

Ule Mtanange uliokuwa unasubiliwa kwa hamu na kwa kipindi kirefu na Watanzania, Mchezo huo ambao utatoa taswira ya bingwa nchini Tanzania unatarajiwa kucheza leo uwanja wa Taifa
.

Wakati huo huo Ligi Ya Mabingwa Ulaya itaendele leo kwa michezo miwili, Man U ikiwa na kumbukumbu yakupoteza mchezo wa awali goli 2-0 dhidi ya Wagiriki ushindi wa magoli 3-0 bila ndio itakuwa pona ya Waingereza hao. Nchini Ujerumani Borussia Dortmund kama yampiga kikumbu mlevi baada mechi ya awali kushinda magoli 4-2 nchini Urusi. Ni ushindi wa magoli 3-0 ndio utaweza kuwavusha Warusi hao kwa hatua inayofuata


17:00  Azam  vs  Yanga

22:45  Man U  vs  Olypiakos

22:45  Borussia Dortmund  vs  Zenit Petersburg

No comments:

Post a Comment