Pages

Wednesday, April 9, 2014

MATOKEO: MADRID YATINGA NUSU FAINALI LAKINI.....



Real Madrid imefuzu kwenye tundu la sindano kwenda Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuchapwa mabao 2-0 na Borrusia Dortmund usiku huu Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund.
Mabao ya Marco Reus dakika ya 24 na 37 yaliwafanya wenyeji waende kupumzika wanaongoza kwa 2-0 na kufanya matokeo ya jumla yawe 3-2 baada ya kufungwa 3-0 katika mchezo wa kwanza.


Ronaldo alikuwa benchi leo kwa sababu ya maumivu









Dejection: Dortmund players react at the end of the game - Lukasz Piszczek and Mats Hummels have their head in their hands

Words: Bale and Weidenfeller have an argument after Bale claimed for a penalty

Pressure: Reus attempts to put unsettle Real Madrid midfielder Luca Modric

Arms out: Sergio Ramos pushes Robert Lewandowski away

Foot in: Asier Illarramendi is tackled by Oliver Kirch

In control: Luka Modric dictates play in the centre of midfield

Attack: Welsh winger Gareth Bale drives past Milos Jojic


No comments:

Post a Comment