ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5


Bondia Sukkasem Kietyongyuth, kutoka Thailand (kulia) akitunishiana misuli na Fransic Miyeyusho baada ya kupima uzito jana kwa ajili ya pambano lao la leo jumamosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam.
Bondia Sukkasem Kietyongyuth kutoka Thailand (kulia) akitunishiana misuli kwa mkono na Fransic Miyeyusho baada ya kupima uzito.
Bondia Sukkasem Kietyongyuth kutoka Thailand (kulia) wakipeana salamu ya heshima na Fransic Miyeyusho baada ya kupima uzito
Bondia Mustafa Dotto (kushoto) akitunishiana misuli na Ibrahimu Class 'King class Mawe' baada ya kupima uzito jana, kabla ya kuzipiga katika ukumbi wa PTA Sabasaba leo.
Bondia Mfaume Hamad (kushoto) akitunishiana misuli na Godfrey Sadiki.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top