ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Mabao kutoka kwa Puncheon dakika ya 23, Dann dakika ya 49 na Jerome dakika ya 73 yalitosha kuwaangamiza Everton katika uwanja wake wa nyumbani. Wageni wakiwa wanakimbia kushuka daraja na mwenyeji kutafuta nafasi nne za juu hili mwakani acheze Ligi ya Mabingwa, licha ya jitihada na kufanikiwa kupata magoli mawili kupitia Naismith dakika ya 61 na Mirallas dakika ya 86 lakini hayakuweza kuwasaidia kuondoka na alama hata moja.


About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top