ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5



Basi la smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba

Watu wawili Wamefariki Dunia Kutokana na Ajali ya Basi la Smart Asubuhi Ya leo. 

Basi Hilo Lililokuwa likitokea Jijini dar es salaam Kuelekea Mombasa Nchini
Kenya Limeacha Njia Na Kupinduka na Kusababisha Vifo vya watu Wawili
pamoja na Kujeruhi abiria wanaokadiriwa kufika 20 .Ajali hiyo imetokea katika Eneo la Mkata na Lugoba Barabara Kuu ya Chalinze Segera.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top