Friday, July 18, 2025

ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Picha:Onion slice.jpg
Usijali machozi yanayoletwa na vitunguu, vitunguu ni kama karata dume katika kupigana na magonjwa. Ni mmea mahiri katika familia ya lily, vinakupa faida nyingi kiafya pia yaongeza ladha nzuri katika chakula chako.
 Tuangalia haraka haraka faida zitokanazo na kula vitunguu maji.
1. Vina kemikali ambazo zinasaidia kazi ya Vitamini C katika mwili wako, hivyo kukuongezea kinga ya mwili.
2. Vina kemikali aina ya chromium ambayo inasaidia kudhibiti sukari katika damu.
3. Kwa karne nyingi, vitunguu vimekuwa vikitumika kupunguza uvimbe na kuponya maambukizi.
4. Unafurahia vitunguu vilivyokatwa kwenye chakula? Kama ndio basi furahi! Vitunguu vibichi vinasaidia kutegeneza cholesterol nzuri (HDL) hivyo kuufanya moyo wako kuwa na afya njema.
5. Kemikali yenye nguvu iitwa quercetin katika vitunguu inatambulika kwa kusaidia kwa kiasi kikubwa kuzuia saratani (cancer).
6. Umeumwa na nyuki? Weka juice ya kitunguu eneo ambalo umeumwa upate nafuu ya maumivu na uvimbe kutowasha.
7. Vinasaidia kuzuia vidonda vya tumbo.
8. Sehemu ya kijani (kitunguu kutoka shambani) imejaa Vitamini A kwahiyo itumie mara kwa mara.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
RATIBA BARANI ULAYA
»
Previous
UZINDUZI WA MCHAKATO WA KUANZISHA TIKA (TIBA KWA KADI) KATIKA HALMASHAURI YA MJI KOROGWE

No comments:

Post a Comment


Top