ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Habari za hivi punde zinasema kuwa, John Tupa, Mkuu wa Mkoa wa Mara, (pichani) amefariki ghafla muda mchache uliopita. Kwa mujibu wa mtoa habari ni kuwa marehemu Tupa, alikuwa akitoka katika moja ya kikao cha utendaji mkoani kwake ambapo baada ya kupewa 'Breafing', sasa alikuwa akielekea eneo husika kwa ajili ya kutembelea na kukagua kile alichoeleza katika taarifa hiyo, na wakati akipanda gari ndipo alipoanguka na kupoteza maisha.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top