
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (katikati) akiwasili kituo
cha kufua umeme kwa kutumia gesi asilia kinachojengwa Kinyerezi wakati
akihitimisha ziara yake ya siku mbili ya kukagua mradi wa ujenzi
wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi jijini Dar es salaam. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Mkazi wa Mradi huo kutoka kampuni ya Jacobsen Elektro Shaun Moore na wa kwanza ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi.
wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi jijini Dar es salaam. Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Mkazi wa Mradi huo kutoka kampuni ya Jacobsen Elektro Shaun Moore na wa kwanza ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi.

Mkurugenzi Mkazi wa Mradi huo kutoka kampuni ya Jacobsen Elektro Shaun Moore (wa kwanza kushoto) alimweleza Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na msafara wa Makatibu Wakuu wa Wizara zilizo katika mpango BRN maendeleo ya ujenzi wa kituo cha Kinyerezi.

No comments: