ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Ule Mtanange uliokuwa unasubiliwa kwa hamu na kwa kipindi kirefu na Watanzania, Mchezo huo ambao utatoa taswira ya bingwa nchini Tanzania unatarajiwa kucheza leo uwanja wa Taifa
.

Wakati huo huo Ligi Ya Mabingwa Ulaya itaendele leo kwa michezo miwili, Man U ikiwa na kumbukumbu yakupoteza mchezo wa awali goli 2-0 dhidi ya Wagiriki ushindi wa magoli 3-0 bila ndio itakuwa pona ya Waingereza hao. Nchini Ujerumani Borussia Dortmund kama yampiga kikumbu mlevi baada mechi ya awali kushinda magoli 4-2 nchini Urusi. Ni ushindi wa magoli 3-0 ndio utaweza kuwavusha Warusi hao kwa hatua inayofuata


17:00  Azam  vs  Yanga

22:45  Man U  vs  Olypiakos

22:45  Borussia Dortmund  vs  Zenit Petersburg

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top