ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Elisante ole Gabriel (kushoto) akishikana mikono na Mkurugrenzi wa Kampuni ya 4Beli
 Gilbert Herman baada ya kuzindua Tamasha la Kihistoria la Bagamoyo Wilayani Bagamoyo, Pwani . Anayeangalia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo John Mhali.

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Elisante ole Gabriel akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Tamasha la Kihistoria la Bagamoyo uliyofanyika Bagamoyo, Mkoani Pwani. Wengine kutoka kushoto ni Katibu Msaidizi wa Shirikisho la Riadha Tanzania, Mama Ombeni Zavala, Ofisa Elimu wa Mkoa wa Pwani, Yusuf Kipengele aliyekuwa akimwakilisha mkuu wa mkoa huo. Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo John Mhali na Mkurugenzi wa 4Beli Gilbert Herman.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo John Mhali alizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Tamasha la Kihistoria la Bagamoyo
Ofisa Elimu wa Mkoa wa Pwani Yusuf Kipengele aliyekuwa akimwakilisha mkuu wa mkoa huo, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi.
          Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya 4Beli Deogratius Soka (kulia) akisoma hotuba
                   Baadhi ya watu waliohudhuria uzinduzi huo wakimsikiliza mgeni rasmi.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top