ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Klabu ya Manchester United imeambulia sare ya 1-1 dhidi ya mabingwa watetezi, Bayern Munich katika nusu fainali ya kwanza. Hadi mapumziko hakuna aliyeona lango la mwenzake licha ya kosa kosa za hapa na pale.

Nemanja Vidic scores for Man Utd

Cha pili Moyes alifanya mabadiliko yakuwatoa Giggs na Buttner na nafasi zao kuchukuliwa Kagawa na Young, Bayern akicheza kwa kujiamini na kutawala kiasi kikubwa cha mchezo huku Man U kutumia mashambulizi ya kushtukiza.
 Mabadiliko hayo yalizaa matundu baada dakika ya 56 Vidic kufunga kwa kichwa kupitia mpira wa kona. Bayern nao wakafanaya mabadiliko yakuwatoa Muller na Kroos nafasi zao zikachukuliwa Mandzukic na Gotze.                    

Dakika ya 71 Bayern walisawazisha kupitia Shweinsteiger kwa kumalizia pasi ya kichwa toka kwa Mandzukic. Shweinsteiger alionyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kumfanyia madhambi Rooney na kulazimika refa kumtoa nje kwa kadi nyekundu.
                      Manchester United

                     Bastian Schweinsteiger celebrates scoring

                     Arjen Robben

                     Bastian Schweinsteiger

                     Bayern Munich fans are Old Trafford

Hadi filimbi ya mwisho ya Muamuzi inalia Ma U 1 Bayern Munich 1, wiki mbili mbele watarudiana kwa mechi ya pili nchini Ujerumani.








About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top