ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5


 
Makamu Mwewnyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Issa Said Mohamed akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho mmoja wa vijana wa kimasai, Kikoti Mang'wela ambaye alirejesha kadi ya CCM na kujiunga na chama hicho, baada ya mkutano wa kampeni
                              
Mgombea wa ubunge katika jimbo la Chalinze kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mathayo Torongey akiruka juu kucheza ngoma ya kimila ya kimasai baada ya mkutano wa kampeni katika kijiji cha Magulumatal


Baadhi ya vijana wa kimasai wanaosihi katika kijiji cha Magulamatali, wakifurahia na mabango yenye picha za mgombea wa ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mathayo Torongey, baada ya mkutano wa kampeni

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top