ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Mgombea ubunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete, akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotangazwa usiku wa kuamkia leo,. ambapo Mgombea huyo ameibuka na ushindi wa kishindo kwa jumla ya kura 20, 000 kati ya 24, 000, zilizopigwa katika uchaguzi huo jana.
Haya ni matokeo jimbo la Chalinze:-
Kata Ya Mkange
CCM 1262
Chadema 126
Cuf 33
NRA 2
AFP 5
 

Kata YaMandela
CCM 1394
Chadema 112
CUF 8
AFP 6
NRA 2
 

Kata Ya Lugoba
CCM 1574
Chadema 194
CUF 4
NRA 4
AFP 4
 

Kata Ya Kiwangwa 
CCM 420
Chadema 22
CUF 5
NRA 0

AFP 0
 

Kata Ya Msoga
CCM 1248
Chadema 68
CUF 9
NRA 4
AFP 6
 

Kata Ya Fukayosi
CCM 934
Chadema 63
CUF 15
AFP 6
NRA 2
 

Kata Ya Mbwewe
CCM 1319
Chadema 169
CUF 123
NRA 0
AFP 0

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top