Mgombea ubunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete, akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotangazwa usiku wa kuamkia leo,. ambapo Mgombea huyo ameibuka na ushindi wa kishindo kwa jumla ya kura 20, 000 kati ya 24, 000, zilizopigwa katika uchaguzi huo jana.
Haya ni matokeo jimbo la Chalinze:-
Kata Ya Mkange
CCM 1262
Chadema 126
Cuf 33
NRA 2
AFP 5
Kata YaMandela
CCM 1394
Chadema 112
CUF 8
AFP 6
NRA 2
Kata Ya Lugoba
CCM 1574
Chadema 194
CUF 4
NRA 4
AFP 4
Kata Ya Kiwangwa
CCM 420
Chadema 22
CUF 5
NRA 0
AFP 0
Kata Ya Msoga
CCM 1248
Chadema 68
CUF 9
NRA 4
AFP 6
Kata Ya Fukayosi
CCM 934
Chadema 63
CUF 15
AFP 6
NRA 2
Kata Ya Mbwewe
CCM 1319
Chadema 169
CUF 123
NRA 0
AFP 0
Slider[Style1]
Style2
Style3[OneLeft]
Style3[OneRight]
Style4
Style5
Tagged with: Habari
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
- Popular Post
- Video
- Category
Películas populares
-
Simulizi kali ya kutisha iliyoandikwa na Amir Malick, imeanza leo sehemu ya kwanza...
-
ILIPOISHIA: “MAMAA.. MAMAAAAAAAAAAAAA….!!!” Kelele zilisikika kutoka ndani ali...
-
ILIPOISHIA: Macho yalikuwa yamebadirika rangi na kuwa myekunduuu kama amemwagiwa maji ya p...
-
MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
-
Ilipoishia Maria alimpigia Johnson simu akamwambia anataka akalale tena nyumbani kwake Johnson akamgomea akamwambia asije sababu waz...
-
COMPUTER SYSTEM ANALYST II (MOBILE APPLICATIONS DEVELOPMENT/PROGRAMMER) POSITION DESCRIPTION: COMPUTER SYSTEM ANALYST II (...
-
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) limesema kuanzia mwaka huu wa masomo, wanafunzi wanaotaka kujiunga na masomo ngazi ya astasha...
-
Ilipoishia Mzee Joseph akamuambia Maria "Binti umependeza sana we mrembo kweli Johnson anajua kuchagua" Maria akacheka kusikia...
-
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products f...
-
Ilipoishia Johnson alipanga kumpa Maria penzi zito ile siku sababu alimfurahisha sana
No comments: