ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Wajumbe wa bodi wakiongozwa na mwenyekiti wao Shally Raymond (shoto)wakushuka vilima na kuluka vijito hatimaye wakafika mto Ghona katika mji mdogo wa Himo ambako kuna chemichemi ya maji inayotumika kwa ajili ya wakazi wa eneo hilo la himo.
Wajumbe wa Bodi waiangalia Chemichemi hiyo huku wakipata maelezo toka kwa mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Mhandisi Cyprian Luhemeja.
Makamu mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Profesa Faustine Bee akiwa juu ya Bomba  kwa lengo la kutizama kwa ukaribu  Chemichemi hiyo .

Wajumbe wakitizama Chemichemi.

Meneja rasilimali watu wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Michael Konyaki akitoa maelezo kwa mmoja wa wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi wa mamlaka hiyo Hajira Mmambe.Wengine ni Meneja ufundi,Kibasa(shati nyeupe)meneja biashara John Ndetiko(mwenye suti)na meneja Biashara kituo cha Himo ,Sanagawe(shati ya Bluu)
Wajumbe wakiendelea kupatiwa maelezo.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top