ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5


 Mlipuko kadhaa imetokea mjini Mombasa nchini Kenya, ambapo imedaiwa walipuaji wamelipua sehemu tatu tofauti.
Akizungumza kutoa taarifa za tukio hilo Kamishna wa kaunti ya mombasa Nelson Marwa, amesema kuwa waliotekeleza shambulizi hilo huenda wametoroka wakitumia pikipiki.

Aidha amesema kuwa watu 3 wamefariki kutokana shambulizi hilo la guruneti, huku mlipuko mwingine ukishuhudiwa katika eneo la Nyali Reef, lakini hakuna majeruhi.

Ikumbukwe kuwa shambulizi hili linajiri siku chache tu baada ya mlipuko mwingine kushuhudiwa jijini Nairobi katika kituo cha polisi cha Pangani ambapo watu 4 wakiwemo maafisa 2 wa polisi walifariki.

Msemaji huyo amesema kuwa maafisa wa polisi  tayari wameanza kuwasaka washukiwa wa matukio hayo.
Repoti kutoka Shirika la Msalaba mwekundu, inasema kuwa waliofariki ni watu watstu akiwamo mwanamke mmoja na wanaume wawili.

Wwalijeruhiwa 25,kwa sasa waliojeruhiwa wanaendelea na matibabu ikiwa ni pamoja na xray na ukaguzi mwengne.vioñgozi wa kaunti wa msa wamefika.
Majeruhi wakipatiwa matibabu.
Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wakiwa eneo la tukio.
Majeruhi.....akihudumiwa.
Majeruhi....
Majeruhi...
Mmoja kati ya watu waliopoteza maisha katika tukio hilo.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top