ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5


Klabu ya Azam imeendeleza wimbi la ushindi baada yakuwafunga Simba SC magoli 2-1. Hamis Mcha alikuwa wakwanza kuwapatia bao wanalambalamba hao dakika ya 24, dakika za nyongeza wakundu wa msimbazi kupitia Joseph Owino wakasawazisha goli hilo
.Hadi kuelekea mapumziko Azam 1 Simba 1, kipindi cha pili kilianza kwa kasi kwa timu zote mbele kwa kupokezana kushambulia lakini bahati ikawaangukia Azam baada ya tik taka ya Kipre Tcheche kugonga mwamba na kumkuta mfungaji John Bocco dakika ya 56.

Kwa matokeo hayo Azam amezidi kukaa kileleni baada yakujikusanyia pointi 53 kwa michezo 23 aliyocheza akifuatiwa na mabingwa watetezi Yanga SC kwa pointi 46 kwa michezo 22 aliyocheza.

                                                            Simba wakipasha misuli
                      Waamuzi wa mchezo wakijiandaa kuingia uwanjani kupasha moto misuli
                                                              Azam wakipasha misuli

                                                                  Picha na Hamis Shaku

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top