Friday, June 27, 2025

ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5



Klabu ya Yanga SC ya jijini Far Es Salaam imejikuta katika wakati mgumu wa kutetea ubingwa wake baada yakufungwa 2-1 na Mgambo JKT huko jijini Tanga
. Dakika ya Kwanza Mgambo JKT walipata goli la kuongoza kupitia kwa Fully Maganga.

Mohamed Neto anatolewa nje baada ya kujihusisha na imani za kishirikina mchezoni, hadi mapumziko Mgambo walikuwa mbele kwa goli moja. Dakika ya 50, Nadir Haroub "Cannavaro" alisawazishia Yanga bao la kwa njia ya penati baada ya Mgambo kufanya madhambi eneo la hatari.

 Mgambo walijihakijishia nafasi yakubaki ligi kuu baada yakujipatia bao la pili dakika ya 69 kwa njia ya penati baada ya wapinzani wao kufanya madhambi, na mpigaji wa penati hiyo Malima Busungu kutofanya ajizi.Hadi kipenga cha mwisho Mkwakwani Tanga, Mgambo JKT 2 Yanga SC 1. Kwa matokeo hayo klabu ya Yanga imezidi kushika nafasi ya pili katika msimamo ligi kuu Tanzania Bara kwa pointi zao 46.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
AZAM YAZIDI KUUKARIBIA UBINGWA YAWAPIGA SIMBA 2-1 TAIFA
»
Previous
DARAJA LIUNGANISHALO MOROGORO NA MIKOA YA KUSINI LASOMBWA NA MAJI

No comments:

Post a Comment


Top