Tuesday, July 08, 2025

ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Vijana wakisaidia kulikwamua gari la Polisi, lililokwama katika shimo lililokuwa halionekani kutokana na maji kujaa katika njia nyingi za barabara eneo la Kiwalani jijini Dar es Salaam, kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha jijini.
Vijana wakijipatia ajila ya ghafla kusaidia kulitoa gari lililozama kutokana na mvua zinazoendelea jijini.
Mmiliki wa gari lenye namba za usajili T 684 BEG, akiangalia gari lake lililoangukiwa na mti nje ya Hospitali ya Kairuki, kutokana na mvua iliyonyesha jijini Dar jana.
 
Mkazi wa Msasani, akitoka nje ya nyumba yake baada ya kujaa maji.
                                          Hapa ni Nyumba za Dar Villa zilizopo Chama TJM.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
BAADA YA MVUA KUBWA DARAJA LA RUVU LAFUNGWA
»
Previous
RAIS SHEIN AZINDUA MRADI WA UMEME KIJIJI CHA UKUNJWI KASKAZINI PEMBA

No comments:

Post a Comment


Top