ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

IMG_8850 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Umeme katika Kijiji cha Ukunjwi Mkoa wa Kaskazini Pemba
IMG_8887  Baadhi ya  wananchi wa Kijiji cha Ukunjwi na Vitongoji jirani na wafanyakazi wa Shirika la Umeme Zanzibar wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza baada ya kuzindua rasmi Mradi wa Umeme katika Kijiji  hicho kiliopo Mkoa wa Kaskazii PembaIMG_8890 Wanafunzi wa Skuli ya Ukunjwi Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na wananchi baada ya kuzindua rasmi Nishati hiyo
 IMG_8922 Naibu Katibu wa  Mkuu wa Wizara ya Ardhi,Maji na Nishati Mustafa Aboud Jumbe Mwinyi,akisoma Ripoti ya Wizara wakati wa  uzinduzi rasmi wa  Mradi wa Umeme katika Kijiji cha Ukunjwi Mkoa wa Kaskazini PembaIMG_8976Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Ukunjwi na Vijiji Jirani wakati wa sherehe za uzinduzi wa Mradi wa Umeme uliofanyika Kijijini hapo Mkoa wa Kaskazini Pemba.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top