
Bondia Thomas Mashali (kushoto) akikwepa konde la Japhet Kaseba,
wakati wa pambano lao kuwania Ubingwa wa WBO uliofanyika kwenye ukumbi
wa UBO Africa Mashali. Sabasaba jijini Dar es Salaam. Katika pambano
hilo Mashali alimshinda mpinzani wake kwa Pointi.

Japhet Kaseba akiwa na mpinzani wake, Thomas Mashali.

Mashali, akipozi na mikanda yake baada ya kukabidhiwa mkanda mmoja usiku huu.
Mabondia Japhert Kaseba (Thomas Mashali) wakipambana wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba kugombania ubingwa wa UBO Africa Mashali. Mashali alishinda kwa Pointi |
No comments: