ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5


Bondia Mussa Mchopanga kushoto akionesha ufandi wa kutupa makonde kwa Azizi Swalehe wakati wa michuano ya mashindano ya Klabu bingwa ya ngumi mkoa wa Dar es salaam Mchopanga alishinda kwa K,O ya raundi ya kwanza.


Bondia Azizi Swalehe akiwa chini baada ya kupigwa konde zito na Mussa Mchopanga aliyesimama Mchopanga alishinda kwa K,O ya raundi ya kwanza picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Maulidi Athumani kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na John Christian wakati wa mashindano ya klab bingwa ya mkoa wa Dar es salaam Christian alishinda kwa pointi.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top