
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa
Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makamishna wa Uhamiaji kujaza
nafasi mbalimbali zilizokuwa wazi.
Walioteuliwa katika uteuzi huo ni:
1. Bw. John Raphael Choma, ambaye ameteuliwa kuwa Kamishna wa Uhamiaji, Divisheni ya Chuo cha Kikanda cha Taaluma ya Uhamiaji Tanzania (TRITA) kilichopo Mjini Moshi;
2. Bw. Dawson Emil Mongi, kuwa Kamishna wa Uhamiaji, Divisheni ya Pasipoti, Uraia na Utaifa.
3. Bw. Abdullah Khamis Abdullah, kuwa Kamishna wa Uhamiaji, Divisheni ya Usimamizi na Uthibiti wa Mipaka.
4. Bw. Said Abeid Kamugisha, kuwa Kamishna wa Uhamiaji, Divisheni ya Huduma za Sheria.
5. Bi. Victoria L.M. Lembeli, kuwa Kamishna wa Uhamiaji, Divisheni ya Visa, Pasi na Vibali.
Kabla ya kuteuliwa kwao, Makamishna hawa walikuwa Manaibu Kamishna wa Uhamiaji, na uteuzi wao unaanzia tarehe 18 Februari, 2014.
Imetolewa na:
Isaac J. Nantanga
MSEMAJI,
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.
1. Bw. John Raphael Choma, ambaye ameteuliwa kuwa Kamishna wa Uhamiaji, Divisheni ya Chuo cha Kikanda cha Taaluma ya Uhamiaji Tanzania (TRITA) kilichopo Mjini Moshi;
2. Bw. Dawson Emil Mongi, kuwa Kamishna wa Uhamiaji, Divisheni ya Pasipoti, Uraia na Utaifa.
3. Bw. Abdullah Khamis Abdullah, kuwa Kamishna wa Uhamiaji, Divisheni ya Usimamizi na Uthibiti wa Mipaka.
4. Bw. Said Abeid Kamugisha, kuwa Kamishna wa Uhamiaji, Divisheni ya Huduma za Sheria.
5. Bi. Victoria L.M. Lembeli, kuwa Kamishna wa Uhamiaji, Divisheni ya Visa, Pasi na Vibali.
Kabla ya kuteuliwa kwao, Makamishna hawa walikuwa Manaibu Kamishna wa Uhamiaji, na uteuzi wao unaanzia tarehe 18 Februari, 2014.
Imetolewa na:
Isaac J. Nantanga
MSEMAJI,
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.
No comments: