ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5


Shirikisho la mpira wa miguu Duniani FIFA, Limeifungia klabu ya Barcelona ya Uhispania kufanya usajili kwa muda wa misimu miwili.

                                                         
Mabingwa hao wa Uhispania wamefungiwa kufanya usajili wowote kwa muda wa miezi 14 baada ya kuvunja sheria ya usajili wa wachezaji chini ya umri wa miaka 18.

Klabu hiyo toka Catalan haitoweza kununua wala kuuza wachezaji mpaka msimu wa kiangazi wa mwaka 2015 baada ya kufungiwa kwa kipindi cha misimu miwili ijayo. Kama vile haitoshi FIFA imeipiga faini ya euro 305,000 klabu hiyo. Huku pia ikilipiga faini ya euro 340,000 Shirikisho la soka la nchini humo ( RFEF ) kwa kosa la ukiukwaji wa kanuni hiyo.

Habari zaidi itafuata>>>>


About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top