ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

                               

 Ajali hii imeyotokea usiku wa kuamkia leo jumamosi katika daraja la mto Kanoni barabara iendayo Bandarini kwenye manispaa ya Bukoba, Gari hilo ndogo ainaya Toyota yenye namba za usajili T 910 CTC, ambalo mmiliki wake hajajulikana.
Japo katika eneo la tukio mwananchi mmoja alisikika akisema ni mali ya Askari Polisi ambae hakumtaja jina, Mtandao huu ulifika kwenye kituo cha Polisi kujilidhisha na tulikutana na Bw Magayane ambae ni msaidizi katika kitengo cha Usalama Barabarani alikiri kuwa na Tarifa za ajali hiyo na kusibitisha kuwa hakuna aliyeumia, na nilipotaka kujua mmiliki wa Gari hili alisema hawamjui wapo katika jitihada za kumtambua.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top