ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Bao pekee la Sascha Moelders limeipa ushindi wa 1-0 Augsburg na kumaliza wimbi la mabingwa wa Ulaya, Bayern Munich kucheza mechi 53 bila kufungwa katika Bundesliga. Bao hilo pekee lililowazamisha Bayern ambao tayari wamefanikiwa kutetea taji la Bundesliga lilifungwa na Moelders dakika ya 31.
Crucial strike: Augsburg's Sascha Moelders celebrates his goal against Bayern Munich
Mfungaji wa bao pekee la Augsburg, Sascha Moelders akishangilia baada ya kufungaBayern inabaki na pointi zake 78 baada ya kucheza mechi 29,ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine yoyote katika ligi hiyo.
 
 MATOKEO MENGINE
Eintracht Frankfurt 2 - 0 Mainz 05
Nurnberg 0 - 2 Borussia Monchengladbach
VfB Stuttgart 2 - 0 Freiburg
Werder Bremen 1 - 1 Schalke 04
Borussia Dortmund 2 - 1 Wolfsburg

                              

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top