Friday, June 13, 2025

ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Klabu ya PSG imeutumia vyema uwnja wake wa nyumbani baada kuibuka na ushindi wa magoli 3-1 dhidi ya Chelsea, Lavezzi alianza kuwaandikia goli matajiri hao wa Paris dakika ya 3 tu ya mchezo.
                         ezequiel lavezzi goal psg chelsea champions league

Dakika ya 27 Hazard aliisawazishia timu yake kwa mkwaju wa penati baada ya Thiago Silva kumfanyia madhambi Oscar eneo la hatari. Hadi wanaenda mapumziko timu zilikuwa 1-1.
                         Going the wrong way: Hazard puts the ball past Salvatore Sirigu

Kipindi cha pili kilianza kwa kasi na kushambuliana kwa kushtukiza hadi kupelekea wenyeji kupata goli la pili dakika ya 62 kwa mpira wa adhabu uliomgonga Luiz katika harakati za kuokoa.
                             Oh no! Luiz can't get out of the way of the ball as it hits him and goes in
 Kiungo aliyesajiriwa kwa fungu kubwa mara baada ya timu kuchukuliwa na matajiri, Pastore alipigilia msumari wa mwisho dakika za lala salama na kupuelekea matokeo kuwa 3-1.
                            Javier Pastore

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
MATOKEO NBA
»
Previous
MATOKEO: MADRID YATANGULIZA MGUU MMOJA ROBO FAINALI

No comments:

Post a Comment


Top