ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

 Nash MC aweka wazi kuwa anamzimia Meninah "mkimuona mwambieni" 
 Unaweza kuichukulia kivyovyote lakini maandishi ya member wa Tamaduni Music, Nash MC yameeleza wazi kuwa anamzimia mrembo na mwimbaji wa kundi la Shosteez, Meninah la Diva.
Comment ya Nash MC aliyoiweka kwenye post ya Jabir Saleh a.k.a Kuvichaka aliyokuwa ameweka kwenye ukurasa wa Facebook akiwa na Dayna Nyange ambaye atakuwa mkali wa The Jump Off kuanzia wiki ijayo, ilikuwa na ujumbe wa wazi kwa mtangazaji huyo.

“Siku ukimhoji menina nistue maana namzimia kweli.” Aliandika Nash MC.

Hata hivyo, ujumbe huo haukuishia kwa Kuvichaka na akaupeleka kwa watu wengine ambao wanaweza kukutana na Meninah au wale ambao walidhani ametereza tu kuandika kwa uwazi.

“Hilo lipo wazi na mkimuona mwambieni.” Alisisitiza Nash MC.

Rapper huyo wa Naandika alijitoa kwenye lawama binafsi na kuchombeza kiutani kuwa kilichomsukuma ni upendo. “Sio mm ni sababu ya mapendooooooo!” AAYAAAAAAA

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top