Mkuu
wa Mahusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bw. Stephen Kilindo
(kulia) na Afisa Uhusiano wa Kampuni hiyo, Bi. Doris Malulu
wakimuongoza Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt.
Elias Kwesi (wa pili kushoto) kwenda kuzindua rasmi mradi wa maji
katika Zahanati ya Mvuti, Kata ya Msongola, Wilayani Ilala, Dar es
Salaam uliojengwa na TBL.
Kwesi
(mwenye suti), akimshika mkono wa pongezi Afisa Uhusiano wa Kampuni ya
Bia Tanzania (TBL), Bi. Doris Malulu (wa pili kulia) wakati wakielekea
kuzindua mradi wa maji katika zahanati ya Mvuti, iliyoko Kata ya
Msongola, Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam ulichojengwa na TBL.
Kulia ni Mkuu wa mahusiano na sheria wa Kampuni hiyo Bw. Stephen
Kilindo.
Kaimu
Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Elias Kwesi (mwenye
suti), akikata utepe kuzindua rasmi mradi wa maji katika Zahanati ya
Mvuti, Kata ya Msongola, Wilayani Ilala, Dar es Salaam uliojengwa
na Kampuni Bia Tanzania (TBL). Wa pili kulia ni Mkuu wa mahusiano na
sheria wa Kampuni hiyo Bw. Stephen Kilindo Diwani wa Kata hiyo Bi.
Angelina Malembeka na Ofisa Mauzo wa TBL Ilala Bw. Godrack Kalebi.
Kaimu
Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Elias Kwesi (mwenye
suti kulia), akiondoa kitambaa kuzindua mradi wa maji katika Zahanati
ya Mvuti, Kata ya Msongola Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam
uliojengwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), anayemsaidia ni Ofisa Mauzo
wa TBL Ilala Bw. Godrack Kalebi. Wanaoshudia ni Mkuu wa Mahusiano wa
TBL, Bw. Stephen Kilindo na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Dkt.
Asenga Severin.
Kaimu
Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Elias Kwesi (mwenye
suti), akijaribu kufungua koki ya bomba la maji, baada ya kuzindua
mradi wa maji katika Zahanati ya Mvuti, iliyoko Kata ya Msongola,
Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam kilichojengwa na Kampuni Bia
Tanzania (TBL). Wa pili kulia ni Mkuu wa mahusiano na sheria wa Kampuni
hiyo, Bw. Stephen Kilindo, Ofisa Mauzo wa TBL, Ilala, Bw. Godrack
Kalebi na Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Bi. Doris Malulu.
Kaimu
Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Elias Kwesi (mwenye
suti), akisaidia kumtwisha ndoo ya maji mkazi wa kijiji cha Mvuti, Bi.
Aghata Senga, baada ya kuzindua mradi wa maji katika Zahanati ya Mvuti,
iliyoko Kata ya Msongola Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam
uliojengwa na Kampuni Bia Tanzania (TBL). kulia ni Mkuu wa Mahusiano na
sheria wa TBL, Bw. Stephen Kilindo Ofisa Mauzo wa TBL kanda ya Ilala
Bw. Godrack Kalebi (wa pili kulia) na Diwani wa Kata hiyo Bi. Angelina
Malembeka (mwenye kilemba kushoto).
No comments: