
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ametangaza rasmi
majina mengine ya ziada ya wajumbe wapya wa Kamati ya Uongozi ya Bunge
hilo. Majina hayo yametangazwa leo na Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Hassan Suluhu mjini Dodoma kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Bunge hilo.
Taarifa hiyo ilieleza kwamba Mwenyekiti huyo amefanya uteuzi huo, ili kuleta muafaka kwa kushirikisha wadau kutoka uwakilishi wa upinzani, ambao hawakuweza kuchaguliwa kwenye kamati 12 za Bunge hilo. Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo aliyataja majina hayo kuwa ni Freeman Mbowe, Abubakar Khamis Bakari, Fatma Abdulhabib Fereji, Nakazael Lukio Tenga na Amon Mpanju
Taarifa hiyo ilieleza kwamba Mwenyekiti huyo amefanya uteuzi huo, ili kuleta muafaka kwa kushirikisha wadau kutoka uwakilishi wa upinzani, ambao hawakuweza kuchaguliwa kwenye kamati 12 za Bunge hilo. Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo aliyataja majina hayo kuwa ni Freeman Mbowe, Abubakar Khamis Bakari, Fatma Abdulhabib Fereji, Nakazael Lukio Tenga na Amon Mpanju
No comments: