
Watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma kwa kufanya mkusanyiko usio halali huku wakiwa wamebeba mabango yanayohamasisha uvunjifu wa amani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) David Misime alisema tukio hilo lilitokea jana katika maeneo mawili tofauti.
Aliwataja waliokamatwa katika tukio hilo ni Augustino Pancras (60), mkazi wa Kilimani, Cosmas Katebeleza (44), mkazi wa Kikuyu na Jotam Tarukundo (44) mkazi wa Chidachi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) David Misime alisema tukio hilo lilitokea jana katika maeneo mawili tofauti.
Aliwataja waliokamatwa katika tukio hilo ni Augustino Pancras (60), mkazi wa Kilimani, Cosmas Katebeleza (44), mkazi wa Kikuyu na Jotam Tarukundo (44) mkazi wa Chidachi.
No comments: