Ikiwa imesaliwa na mechi 7 mkononi Klabu ya Bayern Munich imetwaa taji la Ligi Kuu ya Ujerumani, maarufu kama Bundesliga baada ya kuifunga Hertha Berlin mabao 3-1.
Toni Kroos aliwaindikia goli la Kwanza dakika ya 6 ya mchezo, kabla ya Gotze kugunga la Pili dakika ya 14 kipindi cha kwanza. Ribery alipigilia msumari wa mwisho dakika ya 79, goli la kufutia machozi kwa wenyeji lilifungwa kwa njia ya penati na Ramos dakika ya 66 baada yakufanyiwa madhambi ndani ya eneo la hatari.
MATOKEO MENGINEBorussia Dortmund 0 - 0 Schalke 04
Eintracht Braunschweig 3 - 1 Mainz 05
Werder Bremen 1 - 3 Wolfsburg
Slider[Style1]
Style2
Style3[OneLeft]
Style3[OneRight]
Style4
Style5
Tagged with: Michezo
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
- Popular Post
- Video
- Category
Películas populares
-
Simulizi kali ya kutisha iliyoandikwa na Amir Malick, imeanza leo sehemu ya kwanza...
-
ILIPOISHIA: “MAMAA.. MAMAAAAAAAAAAAAA….!!!” Kelele zilisikika kutoka ndani ali...
-
ILIPOISHIA: Macho yalikuwa yamebadirika rangi na kuwa myekunduuu kama amemwagiwa maji ya p...
-
MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
-
Ilipoishia Maria alimpigia Johnson simu akamwambia anataka akalale tena nyumbani kwake Johnson akamgomea akamwambia asije sababu waz...
-
COMPUTER SYSTEM ANALYST II (MOBILE APPLICATIONS DEVELOPMENT/PROGRAMMER) POSITION DESCRIPTION: COMPUTER SYSTEM ANALYST II (...
-
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) limesema kuanzia mwaka huu wa masomo, wanafunzi wanaotaka kujiunga na masomo ngazi ya astasha...
-
Ilipoishia Mzee Joseph akamuambia Maria "Binti umependeza sana we mrembo kweli Johnson anajua kuchagua" Maria akacheka kusikia...
-
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products f...
-
Ilipoishia Johnson alipanga kumpa Maria penzi zito ile siku sababu alimfurahisha sana
No comments: