Klabu ya Chelsea imezidi kusogelea ubingwa baada yakumfunga mpinzani
wake wa jiji magoli 6 kwa 0. Iliwachukuwa dakika 4 tu mashabiki
kuanza kufurahi baada ya Eto'o kutofanya hajizi, Arsenal ikiwa inatafakari goli Chelsea wakabika mpira wa kushtukiza na kumpelekea Schuerrle kufunga la pili dakika 6 ya mchezo. Dakika ya 17 Hazard akaiandikia goli la tatu kwa njia ya penati baada ya Chamberlain kuushika mpira kwa makusudi, lakini mwamuzi aliamua kumtoa Gibbs kutokana na adhabu hiyo ikaqalazimu Arsenal wafanye mabadiliko ya Kumtoa Poldoski, bado dakika 3 kueleka mapumziko Oscar akamalizia pasi safi ya Torres na kuandika bao la 4. Kipindi cha pili Arsenal ilifanya mabadiliko ya kuwatoa Chamberlain nafasi yake ikachukuliwa na Flamini na Koscienlny nafasi yake akaingia Jenkinson, dakika ya 66 Oscar tena akafunga goli la 5 na Salah akaiandika goli la 6 dakika ya71. Kwa matokeo hayo Chelsea imefikisha alama 69, alama 7 nyuma ya anayemfuatia
Msaada
Bado Moja
Slider[Style1]
Style2
Style3[OneLeft]
Style3[OneRight]
Style4
Style5
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
- Popular Post
- Video
- Category
Películas populares
-
Simulizi kali ya kutisha iliyoandikwa na Amir Malick, imeanza leo sehemu ya kwanza...
-
ILIPOISHIA: “MAMAA.. MAMAAAAAAAAAAAAA….!!!” Kelele zilisikika kutoka ndani ali...
-
ILIPOISHIA: Macho yalikuwa yamebadirika rangi na kuwa myekunduuu kama amemwagiwa maji ya p...
-
MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
-
Ilipoishia Maria alimpigia Johnson simu akamwambia anataka akalale tena nyumbani kwake Johnson akamgomea akamwambia asije sababu waz...
-
COMPUTER SYSTEM ANALYST II (MOBILE APPLICATIONS DEVELOPMENT/PROGRAMMER) POSITION DESCRIPTION: COMPUTER SYSTEM ANALYST II (...
-
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) limesema kuanzia mwaka huu wa masomo, wanafunzi wanaotaka kujiunga na masomo ngazi ya astasha...
-
Ilipoishia Mzee Joseph akamuambia Maria "Binti umependeza sana we mrembo kweli Johnson anajua kuchagua" Maria akacheka kusikia...
-
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products f...
-
Ilipoishia Johnson alipanga kumpa Maria penzi zito ile siku sababu alimfurahisha sana
No comments: