Usijali machozi yanayoletwa na
vitunguu, vitunguu ni kama karata dume
katika kupigana na magonjwa. Ni mmea
mahiri katika familia ya lily, vinakupa
faida nyingi kiafya pia yaongeza ladha
nzuri katika chakula chako.
Tuangalia haraka haraka faida
zitokanazo na kula vitunguu maji.
1. Vina kemikali ambazo
zinasaidia kazi ya Vitamini C katika
mwili wako, hivyo kukuongezea kinga
ya mwili.
2. Vina kemikali aina ya
chromium ambayo inasaidia
kudhibiti sukari katika damu.
3. Kwa karne nyingi, vitunguu
vimekuwa vikitumika kupunguza
uvimbe na kuponya maambukizi.
4. Unafurahia vitunguu vilivyokatwa
kwenye chakula? Kama ndio basi
furahi! Vitunguu vibichi vinasaidia
kutegeneza cholesterol nzuri (HDL)
hivyo kuufanya moyo wako kuwa na
afya njema.
5. Kemikali yenye nguvu iitwa
quercetin katika vitunguu
inatambulika kwa kusaidia kwa kiasi
kikubwa kuzuia saratani (cancer).
6. Umeumwa na nyuki? Weka juice ya
kitunguu eneo ambalo umeumwa
upate nafuu ya maumivu na uvimbe
kutowasha.
7. Vinasaidia kuzuia vidonda
vya tumbo.
8. Sehemu ya kijani (kitunguu kutoka
shambani) imejaa Vitamini A
kwahiyo itumie mara kwa mara.
Slider[Style1]
Style2
Style3[OneLeft]
Style3[OneRight]
Style4
Style5
Tagged with: Darasani
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
- Popular Post
- Video
- Category
Películas populares
-
Simulizi kali ya kutisha iliyoandikwa na Amir Malick, imeanza leo sehemu ya kwanza...
-
ILIPOISHIA: “MAMAA.. MAMAAAAAAAAAAAAA….!!!” Kelele zilisikika kutoka ndani ali...
-
ILIPOISHIA: Macho yalikuwa yamebadirika rangi na kuwa myekunduuu kama amemwagiwa maji ya p...
-
MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
-
Ilipoishia Maria alimpigia Johnson simu akamwambia anataka akalale tena nyumbani kwake Johnson akamgomea akamwambia asije sababu waz...
-
COMPUTER SYSTEM ANALYST II (MOBILE APPLICATIONS DEVELOPMENT/PROGRAMMER) POSITION DESCRIPTION: COMPUTER SYSTEM ANALYST II (...
-
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) limesema kuanzia mwaka huu wa masomo, wanafunzi wanaotaka kujiunga na masomo ngazi ya astasha...
-
Ilipoishia Mzee Joseph akamuambia Maria "Binti umependeza sana we mrembo kweli Johnson anajua kuchagua" Maria akacheka kusikia...
-
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products f...
-
Ilipoishia Johnson alipanga kumpa Maria penzi zito ile siku sababu alimfurahisha sana
No comments: