ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

SENSA YA VIWANDA 1 
Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Bw. Eliya Ntandu akizungumza kwa niaba ya Makatibu Tawala wa mikoa yote nchini wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Wadadisi na Wasimamizi wa Zoezi la Sensa ya Viwanda uliyofanyika leo mkoani Morogoro.
PICHA YA VIWANDA 2 (2)Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa maelezo mafupi kuhusu Sensa ya Viwanda wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Wadadisi na Wasimamizi wa Zoezi la Sensa ya Viwanda uliyofanyika leo mkoani Morogoro.
PICHA YA VIWANDA 6 
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Janeth Mbene akiwa katika mahojiano maalum na waandishi wa habari baada ya kufungua rasmi mafunzo ya Wadadisi na Wasimamizi wa Zoezi la Sensa ya Viwanda yaliyofanyika leo mkoani Morogoro.
PICHA YA VIWANDA 7 
Baadhi ya wadadisi wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mgeni Rasmi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Wadadisi na Wasimamizi wa Zoezi la Sensa ya Viwanda uliyofanyika leo mkoani Morogoro.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top