Katibu
Tawala wa Mkoa wa Morogoro Bw. Eliya Ntandu akizungumza kwa niaba ya
Makatibu Tawala wa mikoa yote nchini wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya
Wadadisi na Wasimamizi wa Zoezi la Sensa ya Viwanda uliyofanyika leo
mkoani Morogoro.
Naibu
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Janeth Mbene akiwa katika mahojiano
maalum na waandishi wa habari baada ya kufungua rasmi mafunzo ya
Wadadisi na Wasimamizi wa Zoezi la Sensa ya Viwanda yaliyofanyika leo
mkoani Morogoro.
Baadhi ya wadadisi wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mgeni Rasmi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Wadadisi na Wasimamizi wa Zoezi la Sensa ya Viwanda uliyofanyika leo mkoani Morogoro.
No comments: