Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein
akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Umeme katika Kijiji cha
Ukunjwi Mkoa wa Kaskazini Pemba
Baadhi
ya wananchi wa Kijiji cha Ukunjwi na Vitongoji jirani na wafanyakazi
wa Shirika la Umeme Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein alipokuwa
akizungumza baada ya kuzindua rasmi Mradi wa Umeme katika Kijiji hicho
kiliopo Mkoa wa Kaskazii Pemba
Wanafunzi
wa Skuli ya Ukunjwi Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba,
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dkt. Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na wananchi baada ya kuzindua
rasmi Nishati hiyo
Naibu
Katibu wa Mkuu wa Wizara ya Ardhi,Maji na Nishati Mustafa Aboud Jumbe
Mwinyi,akisoma Ripoti ya Wizara wakati wa uzinduzi rasmi wa Mradi wa
Umeme katika Kijiji cha Ukunjwi Mkoa wa Kaskazini Pemba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Ukunjwi na Vijiji Jirani wakati wa sherehe za uzinduzi wa Mradi wa Umeme uliofanyika Kijijini hapo Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Slider[Style1]
Style2
Style3[OneLeft]
Style3[OneRight]
Style4
Style5
Tagged with: Habari
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
- Popular Post
- Video
- Category
Películas populares
-
Simulizi kali ya kutisha iliyoandikwa na Amir Malick, imeanza leo sehemu ya kwanza...
-
ILIPOISHIA: “MAMAA.. MAMAAAAAAAAAAAAA….!!!” Kelele zilisikika kutoka ndani ali...
-
ILIPOISHIA: Macho yalikuwa yamebadirika rangi na kuwa myekunduuu kama amemwagiwa maji ya p...
-
MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
-
Ilipoishia Maria alimpigia Johnson simu akamwambia anataka akalale tena nyumbani kwake Johnson akamgomea akamwambia asije sababu waz...
-
COMPUTER SYSTEM ANALYST II (MOBILE APPLICATIONS DEVELOPMENT/PROGRAMMER) POSITION DESCRIPTION: COMPUTER SYSTEM ANALYST II (...
-
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) limesema kuanzia mwaka huu wa masomo, wanafunzi wanaotaka kujiunga na masomo ngazi ya astasha...
-
Ilipoishia Mzee Joseph akamuambia Maria "Binti umependeza sana we mrembo kweli Johnson anajua kuchagua" Maria akacheka kusikia...
-
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products f...
-
Ilipoishia Johnson alipanga kumpa Maria penzi zito ile siku sababu alimfurahisha sana
No comments: