Klabu ya Manchester City imeendelea kupunguza nafasi ya pointi baada ya kumfanyia roho mbaya jirani yake, Man U kwa kumfunga magoli 3-0 usiku huu katika Uwanja wa Old Trafford.
Man City ilianza kujihakikisha kuchukua pointi 3 dakika ya 1 baada ya mpira uliopigwa na Samir Nasri kugonga mwamba na kumkuta mfungaji, Edin Dzeko.
Bahati ilizidi kumuangukia Dzeko baada ya kufunga goli la Pili dakika ya 56 kwa kunganisha kona iliyopigwa na Nasri. Yaya Toure alihitmisha karamu ya mabao dakika ya 90 kwa shuti safi lililomshinda mlinda mlango wa Man U.
Kwa matokeo hayo Man City wanapanda hadi nafasi ya pili katika msimamo na pointi zao 66.
Slider[Style1]
Style2
Style3[OneLeft]
Style3[OneRight]
Style4
Style5
Tagged with: Michezo
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
- Popular Post
- Video
- Category
Películas populares
-
Simulizi kali ya kutisha iliyoandikwa na Amir Malick, imeanza leo sehemu ya kwanza...
-
ILIPOISHIA: “MAMAA.. MAMAAAAAAAAAAAAA….!!!” Kelele zilisikika kutoka ndani ali...
-
ILIPOISHIA: Macho yalikuwa yamebadirika rangi na kuwa myekunduuu kama amemwagiwa maji ya p...
-
MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
-
Ilipoishia Maria alimpigia Johnson simu akamwambia anataka akalale tena nyumbani kwake Johnson akamgomea akamwambia asije sababu waz...
-
COMPUTER SYSTEM ANALYST II (MOBILE APPLICATIONS DEVELOPMENT/PROGRAMMER) POSITION DESCRIPTION: COMPUTER SYSTEM ANALYST II (...
-
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) limesema kuanzia mwaka huu wa masomo, wanafunzi wanaotaka kujiunga na masomo ngazi ya astasha...
-
Ilipoishia Mzee Joseph akamuambia Maria "Binti umependeza sana we mrembo kweli Johnson anajua kuchagua" Maria akacheka kusikia...
-
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products f...
-
Ilipoishia Johnson alipanga kumpa Maria penzi zito ile siku sababu alimfurahisha sana
No comments: