Klabu ya Yanga imewafanya mbaya Maafande, Tanzania Prisons ya Mbeya
kwa kuifunga magoli 5-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Ushindi
huo unaifanya Yanga kutimiza pointi 46 baada ya mechi 21, ikizidiwa
pointi nne na Azam FC walio kileleni.
Emmanuel Okwi aliifungia Yanga bao la kwanza dakika ya 20 kwa mpira wa adhabu baada yakufanyiwa madhambi nje kidogo na eneo la hatari, dakika ya 33 Yanga ilifanya mabadiliko kwa kumtoa Jerryson Tegete na nafasi yake kuingia Hussein Javu.
Mabadiliko hayo yalikuwa na manufaa kwa yangu dakika 4 mbele Javu alipiga krosi na Mrisho Ngasa akaweka mpira kimiani na kupeleka ubao kusoma 2-0. Prisons walipata penalti kutokana na Oscar Joshua kucheza rafu lakini Lugano Mwangama akapaisha. Hadi mapumziko Yanga walikuwa mbele kwa magoli 2-0.
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi, dakika ya 60 alitoka Okwi nafasi yake ikachukuliwa na Hamis Kiiza na dakika ya 68 Kiiza akafunga goli la 3. Dakika ya 76 Nahodha wa Yanga anaipatia goli la 4 kufuatia Hussein Javu kuangushwa eneo la hatari.
Hamis Kiiza alihitimisha karamu ya magoli baada yakuonganisha krosi dakika ya 88 na kupeleka kicheko Jangwani
Slider[Style1]
Style2
Style3[OneLeft]
Style3[OneRight]
Style4
Style5
Tagged with: Michezo
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
- Popular Post
- Video
- Category
Películas populares
-
Simulizi kali ya kutisha iliyoandikwa na Amir Malick, imeanza leo sehemu ya kwanza...
-
ILIPOISHIA: “MAMAA.. MAMAAAAAAAAAAAAA….!!!” Kelele zilisikika kutoka ndani ali...
-
ILIPOISHIA: Macho yalikuwa yamebadirika rangi na kuwa myekunduuu kama amemwagiwa maji ya p...
-
MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
-
Ilipoishia Maria alimpigia Johnson simu akamwambia anataka akalale tena nyumbani kwake Johnson akamgomea akamwambia asije sababu waz...
-
COMPUTER SYSTEM ANALYST II (MOBILE APPLICATIONS DEVELOPMENT/PROGRAMMER) POSITION DESCRIPTION: COMPUTER SYSTEM ANALYST II (...
-
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) limesema kuanzia mwaka huu wa masomo, wanafunzi wanaotaka kujiunga na masomo ngazi ya astasha...
-
Ilipoishia Wazazi wa Maria walitaka kumpeleka Johnson Kituo cha polisi lkn housegirl wao akawapigia simu akawaambia Maria kasharudi nyu...
-
Ilipoishia Mzee Joseph akamuambia Maria "Binti umependeza sana we mrembo kweli Johnson anajua kuchagua" Maria akacheka kusikia...
-
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products f...
No comments: