Klabu ya Yanga SC ya jijini Far Es Salaam
imejikuta katika wakati mgumu wa kutetea ubingwa wake baada yakufungwa
2-1 na Mgambo JKT huko jijini Tanga
. Dakika ya Kwanza Mgambo JKT
walipata goli la kuongoza kupitia kwa Fully Maganga.
Mohamed Neto
anatolewa nje baada ya kujihusisha na imani za kishirikina mchezoni,
hadi mapumziko Mgambo walikuwa mbele kwa goli moja. Dakika ya 50,
Nadir Haroub "Cannavaro" alisawazishia Yanga bao la kwa njia ya penati
baada ya Mgambo kufanya madhambi eneo la hatari.
Mgambo
walijihakijishia nafasi yakubaki ligi kuu baada yakujipatia bao la pili
dakika ya 69 kwa njia ya penati baada ya wapinzani wao kufanya madhambi,
na mpigaji wa penati hiyo Malima Busungu kutofanya ajizi.Hadi
kipenga cha mwisho Mkwakwani Tanga, Mgambo JKT 2 Yanga SC 1. Kwa matokeo
hayo klabu ya Yanga imezidi kushika nafasi ya pili katika msimamo ligi
kuu Tanzania Bara kwa pointi zao 46.
Slider[Style1]
Style2
Style3[OneLeft]
Style3[OneRight]
Style4
Style5
Tagged with: Michezo
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
- Popular Post
- Video
- Category
Películas populares
-
Simulizi kali ya kutisha iliyoandikwa na Amir Malick, imeanza leo sehemu ya kwanza...
-
ILIPOISHIA: “MAMAA.. MAMAAAAAAAAAAAAA….!!!” Kelele zilisikika kutoka ndani ali...
-
ILIPOISHIA: Macho yalikuwa yamebadirika rangi na kuwa myekunduuu kama amemwagiwa maji ya p...
-
MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
-
Ilipoishia Maria alimpigia Johnson simu akamwambia anataka akalale tena nyumbani kwake Johnson akamgomea akamwambia asije sababu waz...
-
COMPUTER SYSTEM ANALYST II (MOBILE APPLICATIONS DEVELOPMENT/PROGRAMMER) POSITION DESCRIPTION: COMPUTER SYSTEM ANALYST II (...
-
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) limesema kuanzia mwaka huu wa masomo, wanafunzi wanaotaka kujiunga na masomo ngazi ya astasha...
-
Ilipoishia Mzee Joseph akamuambia Maria "Binti umependeza sana we mrembo kweli Johnson anajua kuchagua" Maria akacheka kusikia...
-
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products f...
-
Ilipoishia Johnson alipanga kumpa Maria penzi zito ile siku sababu alimfurahisha sana
No comments: