ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5


Klabu ya Manchester United imekosa uvumilivu kwa kocha wao David Moyes kwa kile kilichotokana na kutofanya vizuri kwa timu hiyo kwa kuendelea kusuasua na kujikuta wapo nafasi ya saba katika msimamo wa ligi kuu ya nchini Uingereza


Taarifa za hivi punde toka kwenye bodi ya klabu hiyo zinasema kuwa, huenda David Moyes akafungashwa vilago vyake na kuiacha timu hiyo ndani ya wiki mbili zijazo kabla hata ya kumalizika kwa ligi kuu nchini humo

                                                    

Kocha wa Manchester United
, David Moyes

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top