Ndege ya kampuni ya Kenya Airways imetua pembeni ya njia kuu yaani runway na kushindwa kutua salama kama inavyotakiwa uwanja wa ndege wa JNIA.
Hata hivyo shukrani za pekee zimwendee rubani wa ndege hiyo ambae pamoja na kupata tyre bust aliweza kucontrol ndege mpaka uamuzi wa kuwaondoa abiria kwa kutumia mlango wa dharura ku-slide kwenda chini na hapo ukawa mwisho wa safari yao.
Tunamshukuru Mungu mjaza neema ndogo ndogo na kubwa nyepesi na nzito nyembamba kwa nene kwa kuruhusu wenzetu hawa kutoka wote kwa amani bila mikwaruzo.
Narudia tena shukrani pekee kwa rubani aliecheza nayo tairi ilipopata pancha huku akilazimisha ibaki njia kuu
Slider[Style1]
Style2
Style3[OneLeft]
Style3[OneRight]
Style4
Style5
Tagged with: Habari
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
- Popular Post
- Video
- Category
Películas populares
-
Simulizi kali ya kutisha iliyoandikwa na Amir Malick, imeanza leo sehemu ya kwanza...
-
ILIPOISHIA: “MAMAA.. MAMAAAAAAAAAAAAA….!!!” Kelele zilisikika kutoka ndani ali...
-
ILIPOISHIA: Macho yalikuwa yamebadirika rangi na kuwa myekunduuu kama amemwagiwa maji ya p...
-
MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
-
Ilipoishia Maria alimpigia Johnson simu akamwambia anataka akalale tena nyumbani kwake Johnson akamgomea akamwambia asije sababu waz...
-
COMPUTER SYSTEM ANALYST II (MOBILE APPLICATIONS DEVELOPMENT/PROGRAMMER) POSITION DESCRIPTION: COMPUTER SYSTEM ANALYST II (...
-
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) limesema kuanzia mwaka huu wa masomo, wanafunzi wanaotaka kujiunga na masomo ngazi ya astasha...
-
Ilipoishia Mzee Joseph akamuambia Maria "Binti umependeza sana we mrembo kweli Johnson anajua kuchagua" Maria akacheka kusikia...
-
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products f...
-
Ilipoishia Johnson alipanga kumpa Maria penzi zito ile siku sababu alimfurahisha sana

No comments: