ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Mashabiki wa Arsenal wanasubiri uzinduzi wa jezi mpya za klabu yao wiki ijayo, lakini kwa bahati mbaya au nzuri zimevuja. Mtumiaji wa akaunti ya Twitter, ‏@oitzbrad ametweet picha hizo chini zinazoonyesha jezi za Arsenal za msimu ujao.

Ni wiki iliyopita tu kiungo wa Gunners, Mesut Ozil alipigwa picha nje ya nyumbani kwake mjini London akiwa ameshika jezi namba 11 ya timu hiyo iliyotengenezwa maalum kwa ajili ya mwanasoka huyo wa kimataifa wa Ujerumani.


About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top