ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Klabu ya Real Madrid imefanikiwa kupata ushindi wake wa kwanza baada ya vipigo mfululizo katika La Liga na kufufua mbio za ubingwa. Wakiingia uwanjani bila ya mchezaji wao nyota Cristiano Ronaldo, walianza kuandika bao la kwanza kupitia kwa Illarramendi dakika ya 45. Hadi wanaenda mapumziko mgeni alikuwa mbele kwa goli 1-0.
Real Sociedad vs. Real Madrid: 6 Things We Learned

     Kipindi cha pili kilikuwa cha neema kwa Real Madrid baada yakukwamisha magoli matatu kupitia kwa mchezaji ghali Dunia Bale dakika ya 62, Pepe dakika ya 85 na Moratta kuhitimisha kalamu hiyo ya magoli dakika ya 88.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top