Ule Mtanange uliokuwa unasubiliwa kwa hamu na kwa kipindi kirefu na Watanzania, Mchezo huo ambao utatoa taswira ya bingwa nchini Tanzania unatarajiwa kucheza leo uwanja wa Taifa
.
Wakati huo huo Ligi Ya Mabingwa Ulaya itaendele leo kwa michezo miwili, Man U ikiwa na kumbukumbu yakupoteza mchezo wa awali goli 2-0 dhidi ya Wagiriki ushindi wa magoli 3-0 bila ndio itakuwa pona ya Waingereza hao. Nchini Ujerumani Borussia Dortmund kama yampiga kikumbu mlevi baada mechi ya awali kushinda magoli 4-2 nchini Urusi. Ni ushindi wa magoli 3-0 ndio utaweza kuwavusha Warusi hao kwa hatua inayofuata
17:00 Azam vs Yanga
22:45 Man U vs Olypiakos
22:45 Borussia Dortmund vs Zenit Petersburg
Slider[Style1]
Style2
Style3[OneLeft]
Style3[OneRight]
Style4
Style5
Home
Michezo
RATIBA: TAIFA HAPATATOSHA, MAN U KUTUPA KARATA YAO MBELE YA WAGIRIKI, BORUSSIA KAMA INAMSUKUMA MLEVI
Tagged with: Michezo
About Unknown
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
- Popular Post
- Video
- Category
Películas populares
-
Simulizi kali ya kutisha iliyoandikwa na Amir Malick, imeanza leo sehemu ya kwanza...
-
ILIPOISHIA: “MAMAA.. MAMAAAAAAAAAAAAA….!!!” Kelele zilisikika kutoka ndani ali...
-
ILIPOISHIA: Macho yalikuwa yamebadirika rangi na kuwa myekunduuu kama amemwagiwa maji ya p...
-
MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
-
Ilipoishia Maria alimpigia Johnson simu akamwambia anataka akalale tena nyumbani kwake Johnson akamgomea akamwambia asije sababu waz...
-
COMPUTER SYSTEM ANALYST II (MOBILE APPLICATIONS DEVELOPMENT/PROGRAMMER) POSITION DESCRIPTION: COMPUTER SYSTEM ANALYST II (...
-
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) limesema kuanzia mwaka huu wa masomo, wanafunzi wanaotaka kujiunga na masomo ngazi ya astasha...
-
Ilipoishia Mzee Joseph akamuambia Maria "Binti umependeza sana we mrembo kweli Johnson anajua kuchagua" Maria akacheka kusikia...
-
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products f...
-
Ilipoishia Johnson alipanga kumpa Maria penzi zito ile siku sababu alimfurahisha sana
No comments: