ads

Slider[Style1]

Style2

Style3[OneLeft]

Style3[OneRight]

Style4

Style5

Mwakilishi wa Jimbo la Kiembe samaki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (wakatikati) wakiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Jimbo la Kiembe samaki Ramadhan Mrisho wa kushoto, kulia Mwenyekiti wa Kamati ya michezo ya Jimbo hilo Juma Abdul-rabi kabla ya kukabidhi pesa taslim na vifaa vya michezo kwa tim za Jimbo hilo ikiwa ni ahadi aliyoitoa wakati wa kampeni zake hafla hiyo imefanyika katika Hoteli ya Ocean View Mjini Zanzibar.
 Diwani wa Jimbo la Kiembe samaki Bw. Gharib Mohamed Addy akizungumza na wanamichezo wa Jimbo hilo kabla yakukabidhiwa vifaa vya michezo na Mwakilishi wa Jimbo la Kiembe samaki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo
 
 Baadhi ya wanamichezo na viongozi mbalimbali wa Jimbo la Kiembe samaki wakimsikiliza Mwakilishi wa Jimbo hilo Mhe. Mahmoud Thabit Kombo kabla ya kukabidhi pesa na vifaa vya michezo kwa timu za Jimbo lake.
 
 Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akimkabidhi pesa Tsh. laki nne kiongozi wa tim ya Smoll Zico ya Kiembe samaki ikiwa ni ahadi aliyoito wakati wa kampeni zake.
 
Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akimkabidhi Katibu wa Tim ya Mbweni Kids Khalifa Khamis vifaa mbalimbali vya michezo, Jumla ya tim nane za Jimbo hilo zimepata pesa na vifaa mbalimbali vya michezo vyenye thamani ya shiling milioni saba na nusu.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment


Top